Galatians 4:13-14

13 aNinyi mwajua kwamba ni kwa ajili ya udhaifu wangu niliwahubiria Injili. 14 bIngawa hali yangu iliwatia majaribuni, hamkunidharau wala kunidhihaki, bali mlinikaribisha kama malaika wa Mungu, kama vile Kristo Yesu.
Copyright information for SwhNEN